Harmonize – Amelowa LYRICS

Admin Avatar

Posted by Neph SureLoaded

Harmonize - Amelowa

Harmonize – Amelowa LYRICS

Harmonize – Amelowa LYRICS

STREAM/DOWNLOAD MP3

LYRICS:

Hiyo miinamo huko nyuma yaliyomo yamo eeeh
Binti wa makamo come closer na give me some more
Kama tunda lilimshinda Adamu akashindwa kuvumilia
Sa kwanini tuitane binamu na nyongo itatumbukia
Ulimi ukipitiliza kunanimaliza mwenzako bado najiuliza
Hivi ni kweli ama tunaigiza

Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia
Zikanipanda hisia na nilipochuchumia maji yakatoka

Amelowa, amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Uuuh aaah ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba
Uuuuh aaah kwenye papara pupa nawona washamba
Jeupega mwanao wenye kwilejakuloa jejikukila mwanau
Liduvalipapa ukakaukyilamba, liduvalipamba ukakaukakyilamba

Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia
Na nilipochuchumia maji yakatoka

Amelowa, amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba
Kwenye papara pupa nawona washamba
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia
Na nilipochuchumia maji yakatoka amelowa

FAST DOWNLOAD

Drop Your Comments (0)

Davido – With You ft. Omah Lay
1
Davido – Titanium ft. Chris Brown
2
Barry Jhay – See Me See God (SMSG)
3
Lil Kesh – Dan Dan ft. Reekado Banks
4
Reekado Banks – Mukutu
5
Bella Shmurda ft. FOLA – Dangbana Riddim
6
Johnny Drille – Angelina ft. Fireboy DML
7
Kizz Daniel – Police ft. Angelique Kidjo & Johnny Drille
8
Rema – Bout U
9
L.A.X – Pain Me ft. Fireboy DML & Pheelz
10